News
Posted On:
Sep, 07 2021
UZINDUZI MISUNGWI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizindua mradi wenye thamani ya shilingi bilioni 13.77 wa Majisafi na Usafi wa Mazingira Misungwi, Mkoani Mwanza Tarehe 14 Juni, 2021