News

Posted On: Sep, 22 2023

BULOLA B NA BUSENGA KUBORESHEWA HUDUMA YA MAJI

News Images

Mafundi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza ,(MWAUWASA) wakiendelea na kazi ya kuunganisha mabomba ya inchi 4 katika mitaa ya Bulola B na Busenga

Kazi ya ulazaji wa mabomba inaendelea ambapo takribani kilomita 3.5 zitalazwa ili kuboresha huduma ya maji pamoja na kusogeza huduma kwa wateja wapya 323.