Mkurugenzi wa MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (wa pili kushoto) akibadilishana mkataba wa usanifu mradi wa kupeleka maji Kusini mwa Jiji la Mwanza
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Mhandisi Robert Gabriel akifungua mkutano wa wadau wa MWAUWASA
Washirika wa maendeleo wakijadili hatua za utekelezaji wa miradi ya maji inayotekelezwa kupitia Programu ya LV WATSAN
Muonekano wa mradi wa maji wa Kyaka/Bunazi ambao utekelezwaji wake umesimamiwa na MWAUWASA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizindua Mradi wa Maji Kyaka- Bunazi Wilayani Misenyi Mkoani Kagera 09 Juni, 2022
Malipo ya Serikali yanafanyika kwa "Control Number" kupitia Benki, Wakala wa Benki ama Mitandao ya simu
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Robert Gabriel (katikati) alipotembelea mradi wa ujenzi wa chanzo cha maji eneo la Butimba
Mkurugenzi Mtendaji MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (kulia) na Ujumbe kutoka Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KfW) walipotembelea mradi wa uondoshaji majitaka maeneo ya milimani.
Mkurugenzi Mtendaji MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele akielezea utendaji wa mabwawa ya majitaka ya Butuja kwa Ujumbe kutoka Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KfW)
Utiaji saini mkataba wa ujenzi wa vyoo vya kisasa Nyamagana
Utiaji saini mkataba wa ujenzi wa vyoo vya kisasa Ilemela
Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 8 Machi, 2022
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) katika picha ya pamoja na Maafisa Ununuzi na Ugavi wa Wizara ya Maji na Taasisi zake
Baadhi ya Wajumbe wa Menejimenti ya MWAUWASA walipofanya ziara kwenye mradi wa maji wa Kyaka Bunazi
Epuka kutupa Taka ngumu kwenye Mfumo wa Majitaka
Mwenyekiti wa MWAUWASA, Christopher Gachuma akizungumza wakati wa Kikao na Wadau wa Maji
Ziara ya Wadau wa Maji kwenye Chanzo cha Maji cha Capripoint
Jiunge na Mtandao wa majitaka
The Headquarter of Mwanza Urban Water Supply and Sanitation Authority (MWAUWASA)
Ujenzi wa tenki la maji la Nyegezi Majengo Mapya umekamilika
Moja ya tenki la maji lililojengwa eneo la Mjimwema kupitia Mpango wa Uboreshaji wa Huduma ya Maji na Usafi wa Mazingira katika Jiji la Mwanza lengo likiwa ni kuongeza upatikanaji wa huduma