News
NYAMHONGOLO WAKUMBUSHWA UMUHIMU WA KULINDA MIUNDOMBINU YA MAJI
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) imeendelea na jitihada za kuelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kutunza miundombinu ya maji, ili kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora na endelevu. Read More
Posted On: Nov 17, 2025
MWAUWASA YAWATAMBUA WATEJA WAKE - KILELE CHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) imeadhimisha kilele cha Wiki ya Huduma kwa Wateja kwa hafla fupi iliyofanyika katika ukumbi wa MajiHouse Oktoba 10 2025. Read More
Posted On: Nov 17, 2025
WANANCHI WA IGOMBE WAMSHUKURU MHE. RAIS
Utekelezaji wa *Mradi wa Uboreshaji wa Chanzo cha Maji Igombe* umeendelea kupiga hatua ambapo sasa umefikia *asilimia 87* ya utekelezaji, Mradi huu ni miongoni mwa jitihada za Serikali kupitia Wizara ya Maji katika kuhakikisha wananchi walioko pembezoni wanapata huduma bora ya majisafi na salama. Read More
Posted On: Sep 17, 2025
REGIDESO - BURUNDI YAFANYA ZIARA YA MAFUNZO MWAUWASA
ataalamu kutoka *Mamlaka ya Maji na Umeme ya REGIDESO* nchini Burundi, wamefanya ziara ya kikazi katika *Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA)* kuanzia *tarehe 01 hadi 04 Septemba 2025*, kwa lengo la *kubadilishana uzoefu na kujifunza namna ya utekelezaji wa miradi ya usambazaji wa maji* katika Jiji la Mwanza. Read More
Posted On: Sep 17, 2025
MHANDISI MWAUWASA AGUNDUA NJIA MBADALA WA KUTIBU MAJI KWA KUTUMIA MIMEA YA ASILI
Mhandisi *Josephat Ilunde* wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) ameandika historia kwa kuwa Mtanzania wa kwanza duniani kufanya utafiti na kugundua teknolojia mpya ya kusafisha na kutibu maji kwa kutumia mimea ya asili *(Water Purification and Disinfection Using Locally Plant Materials).* Read More
Posted On: Sep 17, 2025
MWENGE WA UHURU WAKAGUA MRADI WA UJENZI WA MATENKI YA MAJI
Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na Waziri wa Maji Mhe. Juma Aweso wamepongezwa kwa juhudi kubwa katika kusukuma mbele maendeleo ya sekta ya maji nchini. Read More
Posted On: Sep 17, 2025