News

AWESO AMWAKILISHA RAIS SAMIA UMOJA WA MATAIFA

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Hamidu Aweso (Mb) anamwakilisha Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu Maji unaofanyika Umoja wa Mataifa, New York, tarehe 22-24 Machi 2023. Read More

Posted On: Mar 24, 2023

MABALOZI EU WARIDHISHWA NA MRADI WA MAJI BUTIMBA

Mabalozi wa Umoja wa Ulaya wameridhishwa na ubora na kasi ya ujenzi wa mradi wa shilingi bilioni 69 wa Dakio jipya la Maji katika eneo la Butimba Jijini Mwanza. Read More

Posted On: Jan 26, 2023

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YARIDHISHWA NA MRADI WA BUTIMBA

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji imeridhishwa na hatua iliyofikiwa ya utekelezaji wa mradi wa Maji utakaozalisha lita milioni 48 za maji kwa siku unaojengwa eneo la Butimba Jijini Mwanza wenye thamani ya shilingi bilioni 69. Read More

Posted On: Jan 16, 2023

MRADI WA BILIONI 12 WA MAJITAKA WASAINIWA MWANZA

Serikali kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) imesaini mkataba wa shilingi bilioni 12.7 na Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria (‘LVBC’) kwa ajili ya upanuzi wa mfumo wa majitaka utakaonufaisha wakazi 7,360 Jijini Mwanza. Read More

Posted On: Nov 25, 2022

ZIARA YA MKUU WA MKOA BUTIMBA

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Adam Malima amefanya ziara ya kukagua ujenzi wa Dakio jipya la Maji katika chanzo kipya cha Maji cha Butimba ili kujionea hali halisi ya ujenzi wake. Read More

Posted On: Nov 10, 2022

OPARESHENI MAALUM

Mmliki wa Tema Hoteli iliyoko Mtaa wa Nyabulogoya Kata ya Nyegezi Wilaya ya Nyamagana Jijini Mwanza Ebeneza Foya, anatuhumiwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) kuiba maji kwa kujiunganishia kinyume na utaratibu baada ya kuwa amesitishiwa huduma ya maji Januari 2021. Read More

Posted On: Oct 10, 2022