News
ZAIDI YA WAKAZI 65 NANSIO KUANZA KUNUFAIKA NA HUDUMA YA MAJISAFI
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) Kanda ya Nansio inaendelea na zoezi la ugawaji vifaa vya maungamisho ya huduma ya Majisafi kwa wakazi wa maeneo mbalimbali katika Mji wa Nansio Wilayani Ukerewe. Read More
Posted On: Dec 12, 2024
OPERESHENI DHIBITI MIVUJO YA MAJI
Watumishi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) wameendesha zoezi la kuzungukia maeneo mbalimbali Jijini Mwanza kwa lengo la kubaini na kudhibiti mivujo ya maji katika miundombinu ya maji ya Mamlaka. Read More
Posted On: Dec 12, 2024
AWESO AJIKITA KATIKA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA SULUHU YA UPOTEVU WA MAJI NCHINI
Waziri wa Maji Mhe Jumaa Hamidu Aweso(MB) amewasili Seoul nchini Korea Kusini kwa mualiko maalumu wa Benki ya Exim ya Korea na mfuko wa mashirikiano ya kiuchumi wa Korea (EDCF) ambapo anatarajia kukutana na Makamu wa Rais wa Benki hiyo tarehe 06 Desemba 2024 kujenga mashirikiano zaidi baada ya uwekezaji wa serikali ya Korea kusini katika miradi ya Maji Taka kwa Majiji ya Dar Es Salaam, Dodoma na Manispaa ya Iringa. Read More
Posted On: Dec 12, 2024
WASOMA MITA NA MAFUNDI MAKONGORO WANOLEWA
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) imeendesha Semina Malamu kwa watendaji wa kada ya Wasoma mita na mafundi wa Kanda ya Makongoro kwa lengo kuboresha utoaji huduma kwa wananchi. Read More
Posted On: Dec 12, 2024
MD NELI AFANYA UKAGUZI WA MIUNDOMBINU YA MAJITAKA
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) Bi. Neli Msuya amefanya ziara ya kutembelea na kukagua Miundombinu ya Usafi wa Mazingira maeneo mbalimbali. Read More
Posted On: Dec 12, 2024
MWAUWASA YAKUTANA NA KAMATI YA MIRADI YA USAFI WA MAZINGIRA NYAMAGANA
Kamati ya Mradi wa Majitaka kata ya Mbugani Mtaa wa Unguja Wilayani Nyamagana imekumbushwa kuhusu kanuni za usafi wa Mazingira ikiwa ni pamoja na matumizi sahihi ya mfumo wa uondoshaji Majitaka katika maeneo yenye miinuko ikiwemo eneo hilo hasa katika kipindi cha Mvua ili kujilinda na Magonjwa ya mlipuko. Read More
Posted On: Dec 12, 2024