News

NYAMHONGOLO WAKUMBUSHWA UMUHIMU WA KULINDA MIUNDOMBINU YA MAJI

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) imeendelea na jitihada za kuelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kutunza miundombinu ya maji, ili kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora na endelevu. Read More

Posted On: Nov 17, 2025

MWAUWASA YAWATAMBUA WATEJA WAKE - KILELE CHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

​Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) imeadhimisha kilele cha Wiki ya Huduma kwa Wateja kwa hafla fupi iliyofanyika katika ukumbi wa MajiHouse Oktoba 10 2025. Read More

Posted On: Nov 17, 2025

WANANCHI WA IGOMBE WAMSHUKURU MHE. RAIS

​Utekelezaji wa *Mradi wa Uboreshaji wa Chanzo cha Maji Igombe* umeendelea kupiga hatua ambapo sasa umefikia *asilimia 87* ya utekelezaji, Mradi huu ni miongoni mwa jitihada za Serikali kupitia Wizara ya Maji katika kuhakikisha wananchi walioko pembezoni wanapata huduma bora ya majisafi na salama. Read More

Posted On: Sep 17, 2025

REGIDESO - BURUNDI YAFANYA ZIARA YA MAFUNZO MWAUWASA

ataalamu kutoka *Mamlaka ya Maji na Umeme ya REGIDESO* nchini Burundi, wamefanya ziara ya kikazi katika *Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA)* kuanzia *tarehe 01 hadi 04 Septemba 2025*, kwa lengo la *kubadilishana uzoefu na kujifunza namna ya utekelezaji wa miradi ya usambazaji wa maji* katika Jiji la Mwanza. Read More

Posted On: Sep 17, 2025

MHANDISI MWAUWASA AGUNDUA NJIA MBADALA WA KUTIBU MAJI KWA KUTUMIA MIMEA YA ASILI

Mhandisi *Josephat Ilunde* wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) ameandika historia kwa kuwa Mtanzania wa kwanza duniani kufanya utafiti na kugundua teknolojia mpya ya kusafisha na kutibu maji kwa kutumia mimea ya asili *(Water Purification and Disinfection Using Locally Plant Materials).* Read More

Posted On: Sep 17, 2025

MWENGE WA UHURU WAKAGUA MRADI WA UJENZI WA MATENKI YA MAJI

Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, pamoja na Waziri wa Maji Mhe. Juma Aweso wamepongezwa kwa juhudi kubwa katika kusukuma mbele maendeleo ya sekta ya maji nchini. Read More

Posted On: Sep 17, 2025