News
Watumishi wa Sekta ya Maji watakiwa kutumia TEHAMA kuboresha kazi
Watumishi wa Sekta ya Maji kote nchini wametakiwa kuhakikisha wanatumia ipasavyo TEHAMA ili kuboresha utendaji kazi, hivyo kuimarisha huduma kwa wananchi wanaowahudumia. Read More
Posted On: Apr 19, 2024
KAMATI YA SIASA NYAMAGANA YAIPONGEZA MWAUWASA
Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Nyamagana imeipongeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) kwa utekelezaji mahiri wa miradi inayolenga kuimarisha upatikanaji wa huduma ya Majisafi na uimarishaji wa Usafi wa Mazingira kwa wananchi. Read More
Posted On: Apr 18, 2024
MWAUWASA& KASHWASA KUSHIRIKIANA NA HAMBURG WASSER
Katika kuhakikisha huduma ya majisafi na usafi wa Mazingira zinaendelea kuimarika Nchini, Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) na Kahama Shinyanga (KASHWASA) zimekutana na Mamlaka ya Maji ya Hamburg ya Nchini Ujerumani (Hamburg Wasser) na kujadili namna bora ya kushirikiana ili kuimarisha upatikanaji wa huduma. Read More
Posted On: Apr 17, 2024
USHIRIKIANO NA WADAU WA MAENDELEO
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) kwa kushirikiana na Wadau wa Maendeleo kutoka Nchini Ujerumani imejipanga kuboresha Miundombinu ya Usafi wa Mazingira kupitia Mradi wa Green and Smart Cities 'SASA' ikiwa ni mpango madhubuti wa kuimarisha usafi na utunzaji wa Ziwa Victoria. Read More
Posted On: Apr 03, 2024
MABORESHO YA MIUNDOMBINU YANAENDELEA
Kazi ya Maboresho ya Mtandao wa bomba la kusambaza maji Bulale-Kigoto na Nyangwi inaendelea kutekelezwa na Mafundi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA). Read More
Posted On: Apr 03, 2024
WANANCHI WASHIRIKI MABORESHO YA HUDUMA YA MAJI BUGOGWA
Wananchi wa Mtaa wa Lugezini katika Kata ya Bugogwa wakishiriki katika zoezi la ulazaji bomba kwa ajili ya kuboresha huduma ya usambazaji maji katika mtaa huo Read More
Posted On: Apr 03, 2024