News

​Watumishi wa Sekta ya Maji watakiwa kutumia TEHAMA kuboresha kazi

Watumishi wa Sekta ya Maji kote nchini wametakiwa kuhakikisha wanatumia ipasavyo TEHAMA ili kuboresha utendaji kazi, hivyo kuimarisha huduma kwa wananchi wanaowahudumia. Read More

Posted On: Apr 19, 2024

KAMATI YA SIASA NYAMAGANA YAIPONGEZA MWAUWASA

​Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Nyamagana imeipongeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) kwa utekelezaji mahiri wa miradi inayolenga kuimarisha upatikanaji wa huduma ya Majisafi na uimarishaji wa Usafi wa Mazingira kwa wananchi. Read More

Posted On: Apr 18, 2024

MWAUWASA& KASHWASA KUSHIRIKIANA NA HAMBURG WASSER

​Katika kuhakikisha huduma ya majisafi na usafi wa Mazingira zinaendelea kuimarika Nchini, Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) na Kahama Shinyanga (KASHWASA) zimekutana na Mamlaka ya Maji ya Hamburg ya Nchini Ujerumani (Hamburg Wasser) na kujadili namna bora ya kushirikiana ili kuimarisha upatikanaji wa huduma. Read More

Posted On: Apr 17, 2024

USHIRIKIANO NA WADAU WA MAENDELEO

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) kwa kushirikiana na Wadau wa Maendeleo kutoka Nchini Ujerumani imejipanga kuboresha Miundombinu ya Usafi wa Mazingira kupitia Mradi wa Green and Smart Cities 'SASA' ikiwa ni mpango madhubuti wa kuimarisha usafi na utunzaji wa Ziwa Victoria. Read More

Posted On: Apr 03, 2024

MABORESHO YA MIUNDOMBINU YANAENDELEA

​Kazi ya Maboresho ya Mtandao wa bomba la kusambaza maji Bulale-Kigoto na Nyangwi inaendelea kutekelezwa na Mafundi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA). Read More

Posted On: Apr 03, 2024

​​WANANCHI WASHIRIKI MABORESHO YA HUDUMA YA MAJI BUGOGWA

Wananchi wa Mtaa wa Lugezini katika Kata ya Bugogwa wakishiriki katika zoezi la ulazaji bomba kwa ajili ya kuboresha huduma ya usambazaji maji katika mtaa huo Read More

Posted On: Apr 03, 2024