News

Posted On: Sep, 22 2023

MAPAMBANO DHIDI YA UPOTEVU WA MAJI

News Images

Mafundi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA)wakifanya matengenezo katika bomba la inchi 6 katika Mtaa wa Igogo Azimio.

Matengenezo hayo yamefanyika ili kuzuia upotevu wa maji. Mapambano dhidi ya upotevu wa maji ni moja kati ya vipaumbele vya MWAUWASA.