Kaimu mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA Neli Msuya akisalimiana na Wadau wa Maendeleo kutoka Ulaya walipokutana kujadili utekelezaji wa Mradi wa uboreshaji huduma ya maji na Usafi wa Mazingira
Watumishi wa MWAUWASA wakifuatilia hotuba ya Mhe. Waziri wa Maji Jumaa Aweso alipotembelea Makao makuu ya MWAUWASA na kuzungumza na Watumishi Septemba 2024
Mwenyekiti wa Bodi ya MWAUWASA Christopher Gachuma (wa pili kushoto) pamoja na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA Neli Msuya na Wabunge wa Majimbo ya Nyamagana na Magu wakiwa katika Mradi
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda akipata maelezo kuhusu Mradi wa Maji Butimba alipotembelea Mradi huo Mei 2024
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso akiwa pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Waziri na Viongozi wa MWAUWASA wakiongozwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Neli Msuya, wakikagua Pa
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso akiwa pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Waziri na Viongozi wa MWAUWASA walipotembelea kukagua Mradi wa Dharura wa maji wa Sahwa - Buhong
Maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani Machi 08, 2024
MWAUWASA katika Maonesho ya sikukuu ya wakulima "Nanenane" Viwanja vya Nyamhongolo Agosti 2024
Muonekano wa Mradi wa maji Butimba Oktoba 2024 unaozalisha Lita Milioni 48 kwa siku
Muonekano wa Mradi wa maji Butimba Oktoba 2024 unaozalisha Lita Milioni 48 kwa siku
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji MWAUWASA, Neli Msuya akishiriki zoezi la maboresho ya miundombinu ya maji Kanindo- Kishiri 21/05/2024
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti katika picha ya pamoja na viongozi wa Mkoa wa Mwanza katika mradi wa maji Butimba
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango katika picha ya pamoja na Menejimenti ya MWAUWASA
Muonekano wa mradi wa maji wa Kyaka/Bunazi ambao utekelezwaji wake umesimamiwa na MWAUWASA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizindua Mradi wa Maji Kyaka- Bunazi Wilayani Misenyi Mkoani Kagera 09 Juni, 2022
Malipo ya Serikali yanafanyika kwa "Control Number" kupitia Benki, Wakala wa Benki ama Mitandao ya simu
Epuka kutupa Taka ngumu kwenye Mfumo wa Majitaka
Jiunge na Mtandao wa majitaka
The Headquarter of Mwanza Urban Water Supply and Sanitation Authority (MWAUWASA)
Moja ya tenki la maji lililojengwa eneo la Mjimwema kupitia Mpango wa Uboreshaji wa Huduma ya Maji na Usafi wa Mazingira katika Jiji la Mwanza lengo likiwa ni kuongeza upatikanaji wa huduma