Shughuli ya ulazaji wa bomba la kuchukulia maji ziwani ikiendelea mradi wa chanzo kipya cha Maji eneo la Butimba 15/04/2023
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) ilipofanya ziara kwenye mradi wa maji wa Butimba Machi 29,2023
Watumishi Wanawake wa MWAUWASA wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 2023
Mabalozi wa Umoja wa Ulaya walipotembelea Mradi wa Dakio jipya la Maji katika eneo la Butimba Jijini Mwanza Januari 24, 2023
Kamati ya Kudumu ya Bunge Kilimo, Mifugo na Maji ilipotembelea mradi wa Butimba; Januari 13, 2023
Kamati ya Kudumu ya Bunge Kilimo, Mifugo na Maji ilipotembelea mradi wa Butimba; Januari 13, 2023
Wawakilishi wa LVBC, Wizara ya Maji, Bodi na Menejimenti ya MWAUWASA wakati wa hafla ya utiaji saini mradi wa uboreshaji miundombinu ya majitaka kupitia mpango wa LVB IWRMP
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Adam Malima amefanya ziara ya kukagua ujenzi wa Dakio jipya la Maji katika eneo la Butimba Novemba 8, 2022
Watumishi wa MWAUWASA wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi mradi wa Butimba
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango katika picha ya pamoja na Menejimenti ya MWAUWASA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi mradi wa Butimba
Mkurugenzi wa MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (wa pili kushoto) akibadilishana mkataba wa usanifu mradi wa kupeleka maji Kusini mwa Jiji la Mwanza
Washirika wa maendeleo wakijadili hatua za utekelezaji wa miradi ya maji inayotekelezwa kupitia Programu ya LV WATSAN
Muonekano wa mradi wa maji wa Kyaka/Bunazi ambao utekelezwaji wake umesimamiwa na MWAUWASA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizindua Mradi wa Maji Kyaka- Bunazi Wilayani Misenyi Mkoani Kagera 09 Juni, 2022
Malipo ya Serikali yanafanyika kwa "Control Number" kupitia Benki, Wakala wa Benki ama Mitandao ya simu
Mkurugenzi Mtendaji MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (kulia) na Ujumbe kutoka Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KfW) walipotembelea mradi wa uondoshaji majitaka maeneo ya milimani.
Mkurugenzi Mtendaji MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele akielezea utendaji wa mabwawa ya majitaka ya Butuja kwa Ujumbe kutoka Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KfW)
Utiaji saini mkataba wa ujenzi wa vyoo vya kisasa Nyamagana
Utiaji saini mkataba wa ujenzi wa vyoo vya kisasa Ilemela
Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani 8 Machi, 2022
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) katika picha ya pamoja na Maafisa Ununuzi na Ugavi wa Wizara ya Maji na Taasisi zake
Baadhi ya Wajumbe wa Menejimenti ya MWAUWASA walipofanya ziara kwenye mradi wa maji wa Kyaka Bunazi
Epuka kutupa Taka ngumu kwenye Mfumo wa Majitaka
Mwenyekiti wa MWAUWASA, Christopher Gachuma akizungumza wakati wa Kikao na Wadau wa Maji